iqna

IQNA

Wasomaji Maarufu wa Qur'ani Tukufu /20
TEHRAN (IQNA) – Ahmed al-Reziqi alikuwa qari kutoka kusini mwa Misri ambaye alishawishiwa sana na Abdul Basit Abdul Samad na Mohamed Sidiq Minshawi lakini pia alikuwa na ubunifu na weledi katika usomaji wa Qur'ani.
Habari ID: 3476440    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/21